Elvicepride
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 243
- 65
- Thread starter
- #21
###Tyta Nimekuelewa
Nimesoma Reply Zenu But Wengine Wanaweza Wakafikiri Im Only After Sex But I Do Need Her In My Life Ni Mschana Mzuri Na Kila Siku Ananifanya Nimhitaji Sana Kwenye Maisha Yangu Sina Lengo La Kumchezea We Come A Long Way.
Mungu atunusuru na watoto wetu.........
Nimesoma Reply Zenu But Wengine Wanaweza Wakafikiri Im Only After Sex But I Do Need Her In My Life Ni Mschana Mzuri Na Kila Siku Ananifanya Nimhitaji Sana Kwenye Maisha Yangu Sina Lengo La Kumchezea We Come A Long Way.
hata shule hajamaliza,tayari ushamwekea mipango ya likizo.!!we unaugwadu tu...trust me... ukishapata tu itakuwa turning point hapo... miaka sita mliyokaa bado haijaonesha kama kweli wamtakia mema mwenzako... yaani unasubiria likizo umkumbushie??/ daah!kumbuka ni mara yako ya kwanza..no experience..ukimpa mimba...?? hata tuseme utumie condom...yaweza pasuka kwa mshawasha ulio nao....tena ndio kwanza kaingia utu uzima (18yrs) legally,,lakini kiuhalisia 18 bado mtoto mdogo....subiri sana bwana mdogo...
Naomba Niulize I Have A Girl We Have Five(5) Years Sasa Kwenye Mahusiano Na Huu Ni Mwaka Wa Sita(6) 2014 Tumekuwa Pamoja Since Childhood(Since Day One) We Do Really Love Each Other I,m 20yrs & She,s 18 Now Na Tunamipango Yetu Kuwa Pamoja In The Future & Haya Ni Mapenzi Yetu Ya Kwanza, No Sex Yet! Nilikuwa Namwomba Sana Kuhusu Swala La Mapenzi Hakutaka Kabisa Nina Miaka Mingi Namwambia Kuhusu Hilo Swala Mpaka Mwaka Huu Akaniskiliza Kilio Changu, Na Sio Kwamba Nina Malengo Tu Ya Sex I Need Her In Life Too, Kitu Ni Kwamba Mwezi Huu Tulipanga Ku-have Sex Kwa Mara Ya Kwanza She Is Still A Virgin Ikatokea Mambo Yakaenda Sivyo Ilitokea Akarudi Shule Ghafla Siku Tuliyokuwa Tumepanga Mzee Wake(Mshua) Akamwambia Awahi Shule Yuko Bording (Only Girls School) Mkoa Flan, Shule Yeye Anamaliza Form IV(4) Mwaka Huu 2014, Sasa Mie Ninamipango Akirudi Likizo Mwezi Wa Nne Nimkumbushie Kuhusu Hilo Swala Najiuliza Sana Sijui Anaweza Kukubali Tena Au Kukataa Tena???? Maana Ni Mara Ya Kwanza Kufanya Hicho Kitendo. Nahitaji Ushauri Hapo. PIA Nilikuwa Nauliza Ni Salama Tukifanya Sex Hata Kabla Hajamaliza Na Haito Mpa Madhara Kisaikolojia???? OR I Should Wait Amalizie Form Four(4)..
..Najua Tulipotoka,Tulipopitia Na Tunapoelekea..
Nampenda Sana My Girl Na Namwitaji Kwenye Maisha Yangu Kila Mara Huwa Ananifanya Makes Me Want Her Even More.
Nahitaji Ushauri Mzuri Na Sii Kunishauri We Are Young To Do This & Still Young To Be In Love Affairs.