Nakushauri usi wahi wahi haraka hivyo...
Mi mwenyewe nina umri huo huo kwaio najua mihemko yake..
But hebu fikiria mbele kidogo..
Ukifanya mapenzi naye halafu apate mimba itakuwaje!??:what:
Haya hata asipo pata..
Kumbuka bado hamjafunga ndoa, kwahio huo ni uzinzi.
Kwann usiuepuke!!?:what:
Kaa chini fikiria kwa kina kuhusu hilo jambo..
Ukizingatia faida ni zipi , matokeo ni yapi, na madhara ni yapi..
Ok..🙂🙄🙂🙄