Kuna kitu alisahau kukutenda sasa ndo amekumbuka anaona aje na maneno matamu anajua utakubali then akishakutenda hilo alilokusudia analala mbele,kuwa mwangalifu sana,Kwa ushauri endelea na huyo uliye naye kwa sasa,utakaporudi kwa huyo jua kwamba unarudia matapishi yako mwenyewe.