Tafadhali kwa watu waliopo kwenye tasnia ya afya kibiashara, kikazi au kitaaluma naomba kufahamu taratibu za kufungua pharmacy.
Kwanza Fikiria/tafuta eneo kisha mchek Mfamasia wa wilaya mweleze lengo lako na eneo unapotaka kufungua... Kama eneo lipo poa watakuruhusu kuandaa Ofisi.
Sifa za ofisi nimekutumia picha pitia hapo Kama unaswali karibu.
Baada ya kukamilisha ofisi utahitaji 1.Mfamasia/Cheti cha Mfamasia atajayesimamia Famasi yako huwa wanalipwa around 1,200,000/= kwa mwezi.
2.cheti cha muuzaji
3.Mikataba baina yenu, yaani wewe na kila mmoja wao
Hizo ndizo nyaraka zitakazotumika kuombea kubali Pharmacy council lkn baada ya kukaguliwa na Mfamasia wa mkoa..
View attachment 1224765
Mkuu,
Shukrani sana Chief.Kwanza Fikiria/tafuta eneo kisha mchek Mfamasia wa wilaya mweleze lengo lako na eneo unapotaka kufungua... Kama eneo lipo poa watakuruhusu kuandaa Ofisi.
Sifa za ofisi nimekutumia picha pitia hapo Kama unaswali karibu.
Baada ya kukamilisha ofisi utahitaji 1.Mfamasia/Cheti cha Mfamasia atajayesimamia Famasi yako huwa wanalipwa around 1,200,000/= kwa mwezi.
2.cheti cha muuzaji
3.Mikataba baina yenu, yaani wewe na kila mmoja wao
Hizo ndizo nyaraka zitakazotumika kuombea kubali Pharmacy council lkn baada ya kukaguliwa na Mfamasia wa mkoa..
View attachment 1224765
Ukitaka kununua dawa kwa bei nafuu zaidi nunua kwa suppliers wakubwa ambao ndo wanawasambazia pharmacies kubwa za jumla kkoo.Vipi connection za makampuni ya kuuza kwa jumla madawa ambayo Ina uza variates brands kwa kariakoo
Samahani, unaweza UKAWA na hizo numberUkitaka kununua dawa kwa bei nafuu zaidi nunua kwa suppliers wakubwa ambao ndo wanawasambazia pharmacies kubwa za jumla kkoo.
Hua wana watu wao wanaotembea kwenye pharmacies,mahospitalini nk kutangaza dawa zao kila mkoa/kanda hivyo ukiwa na namba zao ni rahisi mno kwani unaweza kupata dawa kwa bei nafuu sababu wao ndo waingizaji na wanaowasambazia dawa hizo pharmacy nyingi kkoo.
Hao ni wale medical representatives wao wanaopita kuadvertise dawa kwenye pharmacies na hospitalini.wapigie watakupa A to Z jinsi utakavyopata dawa kwa bei nafuu.Samahani, unaweza UKAWA na hizo number
Lazima cheti cha mwenye degree ndo kifungulie pharmacy.Je ukitaka kufungua pharmacy lazima uwe na chet cha degree ya pharmacy au ata chet cha diploma unaweza kutunmia??
Nashukuru kwa maelezoLazima cheti cha mwenye degree ndo kifungulie pharmacy.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Mkuu vipi kuhusu kupata tender za kusupply dawa kweny hospitali.....hawa jamaa si wanauza direct , je nawez fany biashara kweli?Hao ni wale medical representatives wao wanaopita kuadvertise dawa kwenye pharmacies na hospitalini.wapigie watakupa A to Z jinsi utakavyopata dawa kwa bei nafuu.
View attachment 1577605View attachment 1577606View attachment 1577607