Mwongozo kusomea Programming Language

skull

Senior Member
Aug 18, 2016
157
104
Salama wakuu mimi ni Fundi wa vifaa vya umeme na Umeme wenyewe niko interested zaidi na Electronics natamani kujifunza Programming language nahitaji muongozo Pakuanzia wakuu kuna watu wamenishauri nijifunze C and C++ kutoka na field niliyopo sasa experts,Hobbyist nahitaji ushauri wako na link wapi pakuanzia
 
Salama wakuu mimi ni Fundi wa vifaa vya umeme na Umeme wenyewe niko interested zaidi na Electronics natamani kujifunza Programming language nahitaji muongozo Pakuanzia wakuu kuna watu wamenishauri nijifunze C and C++ kutoka na field niliyopo sasa experts,Hobbyist nahitaji ushauri wako na link wapi pakuanzia
anza na c language utapata backbone kudeal na microcontrollers avr,8o51,pic na arduino then kuja kwa Java apa utaweza fanya apps za android nyingi apa waweza pia tengeneza projects zinazoshirikisha pure electrical+apps+micro c's
 
anza na c language utapata backbone kudeal na microcontrollers avr,8o51,pic na arduino then kuja kwa Java apa utaweza fanya apps za android nyingi apa waweza pia tengeneza projects zinazoshirikisha pure electrical+apps+micro c's
tafuta kitabu in pdf format chaitwa 'c for dummies' kitakusaidia sana pamoja na compiling softwares like code blocks kwa ajili ya practice
 
Anza na mother of all modern programming language C programming... then ukitoka hapo unaweza kusoma java au c++
 
anza na c language utapata backbone kudeal na microcontrollers avr,8o51,pic na arduino then kuja kwa Java apa utaweza fanya apps za android nyingi apa waweza pia tengeneza projects zinazoshirikisha pure electrical+apps+micro c's

Nashukuru sana mkuu je software za kupractice nazipata wapi
 
mwanzisha mada samhani kama nitakuwa nimechafua uzi wako au kuandika kitu kisicho stahili na mm nimeshatafuta sana kujifunza kitu kama hicho lkn sijajua hasa kitaalam niangukie wapi??

mm ni fundi umeme wa magari so kuna ishu za kuprogram funguo,ecu programming,airbag reset,digital odometer programming ,car redio decoding n.k

hivyo vitu vyote huwa tunavifanya na mashine ni mambo ya ku copy na kupast.au una press ok na kufuata maelekezo tena unabonya okey mpaka unamaliza laini mm nilikuwa natamani sana kufaham kuandika au ni lugha gani au ni nn kimeandikwa au kinamaanisha nini hasa kwenye zile chip EEPROM?? maana humo ni mwendo wa hexadecimal na bir
 
mfano kama kwenye odometer labda unapotaka kushusha kilometer ukichukua mashine ukichomeka unachagua aina ya gari aina ya eeprom then inakupa km zinazosoma zilizopo wakati huo baada ya hapo unapewa option ya kuandika new km /milage ukimaliza kuandika kilomita unazotaka una press OK mchezo unakuwa umekwisha.mashine inachokifanya hapo ni kuchange ile km mpya uliyo iandika na kuwa decimal baada ya hapo inabadili kutoka kwenye decimal na kwenda kwenye hexadecima na kuiandika kwenye eeprom sasa mm nataka kufahamu hayo mambo ya mahesabu na kuandika kwenye chip manually sio kila kitu mashine inifanyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom