Ino
Member
- Dec 20, 2012
- 25
- 7
siku moja mwalimu wa sayansi aliingi darasani kwa akinana kizibo,kizibo alikuwa na swali la mtego kwa mwalimu wake,mambo yalikuwa hivi:
Kizibo.Eti mwalimu,hivi ukichanganya sabuni ya OMO na FOMA eti itatowa povu?
Mwalimu:We pumbafu sana swali gani hilo lakijinga? kwanini isitoe povu wakati zote ni sabuni?
Kizibo:Mwalimu we ndo mjinga kabisa haziwezi kutoa povu kwasaba hujachanganya na maji kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Teacher hoi lol.
Kizibo.Eti mwalimu,hivi ukichanganya sabuni ya OMO na FOMA eti itatowa povu?
Mwalimu:We pumbafu sana swali gani hilo lakijinga? kwanini isitoe povu wakati zote ni sabuni?
Kizibo:Mwalimu we ndo mjinga kabisa haziwezi kutoa povu kwasaba hujachanganya na maji kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Teacher hoi lol.