Mwl Nyerere na Biafra

Msendekwa

JF-Expert Member
Mar 11, 2012
442
168
Nimesikia kwamba Mwl. Nyerere alipata kuunga mkono jimbo la Biafra kule Nigeria kujitenga na serikali kuu.
Naomba kujuzwa alikuwa na hoja gani kuunga mkono hilo, ikizingatiwa kuwa alikuwa muumini mzuri wa umoja wa Afrika!
 
Ndio maana mpaka leo nyerere hana jina zuri Nigeria. hapa marekani ukikutana na wa nigeria wao huzania kuwa nyerere bado mtawala mpaka leo. wana usemi kuwa nyerere alikuwa conservative sana mpaka mtoto wake alikuwa anakwenda peku peku shuleni! Msimamo wa nyerere kuhusu Biafra ulikuwa mzuri sana.

Yakubu Gowon anajutia kuwapiga vita wa biafra maana sasa hivi ona Boko haram inavyowatesa wakristo huko Nigeria. Hii ndiyo sababu Nyerere alitaka south Nigeria iwe huru na ule udini wa North nigeria.
 
kuna sababu iliyosababisha kufanya hivyo fuatilia kwa makini utajua.
 
Watu wengi wanashindwa kumuelewa Nyerere kwanini aliunga mkono Biafra, inasemekana Nyerere alifanya hivyo ili Utawala uliokuwa Nigeria kipindi hicho ushtuke na kuona jumuia ya kimataifa inawaunga mkono viongozi wa Biafra kusudi serikali iwahi kurudi kwenye meza ya mazungumzo kwakuwa ilikuwa haitaki mazungumzo.

Sababu ya pili kupinga udhalimu waliokuwa wanafanyiwa na serikali jamii ya dhehebu fulani.
 
Tafuta kwenye hifadhi ya JF majadiliano ya suala hili kwani ni kitu tulichokijadili sana huko nyuma.

Nimesikia kwamba Mwl. Nyerere alipata kuunga mkono jimbo la Biafra kule Nigeria kujitenga na serikali kuu.
Naomba kujuzwa alikuwa na hoja gani kuunga mkono hilo, ikizingatiwa kuwa alikuwa muumini mzuri wa umoja wa Afrika!
 
Ndio maana mpaka leo nyerere hana jina zuri Nigeria. hapa marekani ukikutana na wa nigeria wao huzania kuwa nyerere bado mtawala mpaka leo. wana usemi kuwa nyerere alikuwa conservative sana mpaka mtoto wake alikuwa anakwenda peku peku shuleni! Msimamo wa nyerere kuhusu Biafra ulikuwa mzuri sana.

Yakubu Gowon anajutia kuwapiga vita wa biafra maana sasa hivi ona Boko haram inavyowatesa wakristo huko Nigeria. Hii ndiyo sababu Nyerere alitaka south Nigeria iwe huru na ule udini wa North nigeria.
Uongo mtupu kabisa. Ule mgogoro haukuwa wa kidini.

Ni kweli watu wa South (Igbos na makabira mengine badogo) yalinyayasika huko North na West, lakini sababu ya unyanyasaji huo ilikuwa kwa sababu ya ukabila, au kutofurahishwa na Wa igbo kuwa ktk kila nyanja ya Nigeria.


Ukianza kwa kuwalaumu Waingereza kwa kwa DIVIDE AND RULE, hutoacha pia KUWALAUMU ASA Wa igbo waloanzisha mapinduzi kwa kuwaua viongozi wa kubwa wa jeshi, na hatimaye kujitenga na Shirikisho.
 
Back
Top Bottom