Ndiyo. Delegation yao ilifika hapa Msasani,na nakumbuka kumsikia Mwalimu ansema ''Oh,so you want to give me a step by step account of what you want to do there? That's okay with me.'' [Yaani,Mwalimu alifurahi walipomwambia kwamba he would not just be watching it on TV,they would come to him for advice]all throughout the march to Kinshasa walikuwa wanawasilana na Mwalimu alikwenda katika meetings zao,especially the last one in which Mobutu came in a wheel chair to hand over power to Laurent Kabila. Mobutu was in a wheel chair. Kwa hiyo hawa watu they just took power from a decrepit man.
Una hakika Mobutu ali "handle in power?"
Nijuavyo, Mobutu alikimbia nchi kina Kabila walivyoingia Kinshasa!