Mwizi mbunifu

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Mwizi alimuona alimuo tajiri mmoja akizikwa na v2 vingi vya thaman,akajsemea kimoyo moyo:ucku nakuja kuliiba hlo jeneza lote,basi gza lilipofka akaenda kuiba lile jeneza,wkt amelibeba yupo njian akakutana na doria ya police,alipowakarbia akaanza kuzungumza kwa saut,"mimi niliwaambia wanizikie morogoro wao wamenizkia dar"naenda morogoro mwenyewe,police kuckia hvyo wote wakatimua mbio.
 
Back
Top Bottom