johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,485
- 147,239
Mbunge wa Tarime Vijijini akichangia hotuba ya wizara ya Maendeleo ya Jamii amesema kama hao wanatupa Misaada ya Kibajeti wanatuwekea Masharti ya Ushoga basi Misaada yao hatuitaki
Mwita Waitara alionekana ni mwenye hasira kali sana kiasi kwamba Mbunge wa pembeni yake alikuwa anatetemeka
TBC
Mwita Waitara alionekana ni mwenye hasira kali sana kiasi kwamba Mbunge wa pembeni yake alikuwa anatetemeka
TBC