REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,391
- 1,960
kutokana na research yangu katika nyanja zote za kisayansi na kiimani nimepata muafaka kuwa mwisho wa dunia umewasili,ukiangalia upande wa sayansi ,wanasayansi wamefika tamati na kutengeneza movies kama 2012,the final hours,final destination,the armgedeon,under world,judgement day,et messages n.k sio kwamba ni wajinga wakapoteza billions of money kuwekeza katika very highly intellectual movies zinazotumia akili nyingi na mda mrefu sana kuzianda eti tu kwa entertainment na watu kuziona kwa muda wa masaa mawili ilhali imetumika kama miaka 7 au 10 kurelease,huu ni ujumbe wa kweli katika mfumo wa consipiracy kuwaonesha binadamu uhalisia ambao unakuja ,kuwafanya waone kawaida,wazoe na kujua ni jambo la nadharia,ukitizama game ya illuminati cards inaonesha everything mpaka tamati ila ni kama mchezo tu kumbe ndo kinachotokea,ukija katika imani iko very straight kwenye ufunuo kuhusu 666 na tunaelekea kutoka kwenye pesa kwenda kwenye electronic cards and numbers as 666 marks in order to buy and sell THANKS