Nimekuwa nikifatilia vipindi mbali mbali vya habari za michezo. Wahandishi wengi wa habari za michezo wanapenda kumuhoji Mwinyi Zahera kuhusu habari za Yanga.
Zahera amehojiwa kuhusu tukio la jana "MWANANCHI DAY"
Amehojiwa kuhusu usajili wa Yanga.
Amehojiwa kuhusu perfomance ya Yanga mechi ya jana.
Mbona makocha wengine waliopita Yanga hawahojiwi.
Je, Mwinyi Zahera ana nini hasa cha special hadi atumike kama reference wakati alikuwa kocha muda mrefu umepita?
Zahera amehojiwa kuhusu tukio la jana "MWANANCHI DAY"
Amehojiwa kuhusu usajili wa Yanga.
Amehojiwa kuhusu perfomance ya Yanga mechi ya jana.
Mbona makocha wengine waliopita Yanga hawahojiwi.
Je, Mwinyi Zahera ana nini hasa cha special hadi atumike kama reference wakati alikuwa kocha muda mrefu umepita?