Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Ikiwa ni siku ya kwanza ya zoezi la uchukuaji fomu kwa watia nia, Mwinshehe Adam Yange Mwenyekiti Wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Mkoa Wa Morogoro amechukua fomu ya jimbo la Morogoro Mjini kupitia CCM.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Yange anaenda kuchuana na mbunge anaetetea nafasi yake, Mhe Abdulaziz Mohamed Abood ambapo amesema anaamini Morogoro Mjini inahitaji damu changa ili kutatua changamoto zinazowakabili wananchi na kuahidi atashirikiana na wanachi katika kufanya jimbo hilo lipate maendeleo.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Yange anaenda kuchuana na mbunge anaetetea nafasi yake, Mhe Abdulaziz Mohamed Abood ambapo amesema anaamini Morogoro Mjini inahitaji damu changa ili kutatua changamoto zinazowakabili wananchi na kuahidi atashirikiana na wanachi katika kufanya jimbo hilo lipate maendeleo.