strugglist-2015
Member
- Dec 4, 2012
- 33
- 3
Hivi nchemba unakumbuka miaka ya 1980's Dr slaa alikua mwanachama c c m na alikihama miaka ya tisini baada ya kuenguliwa kuwania nafasi ya ubunge karatu.kitendo cha dr slaa kujiunga upinzan kirimkera sana mwalmu nyerere nukuu akihutumbia c c m 1995''kitendo cha kumuacha huyo kijana (dr slaa)aondoke atakuja kuwasumbua sana na lazima atakuja kuwa rais wa tz.hivyo dr alianzisha Red brigdage akiwa c c m ama chadema coz baada ya kumaliza masomo dr slaa alikua kada wa c c m ,kwasababu post yako utaka kutuaminisha slaa alijiunga chadema moja kwa moja baada ya kutoka masomo ITALY