Mtu mwingine anajitambulisha kama Jafari Fikiri,ameibuka na kutibu magonjwa sugu.anasema yeye anagawa vikombe viwili bure,na ndivyo alivyoambiwa na mizimu yake.Yuko ktk eneo la Mabatini.Watu ni wengi mno
Tahadhali mbeya kila nyumba ni dhehebu!!!!!!!!!!!. Ndio mkoa wenye madhehebu mengi ya dini ya kikristo
Basi hata kikombe cha babu ni feki!!
Heh heh tulishasema hapa mambo ya babu ni maigizo,mwishowe hata mimi nitasema nimeoteshwa na dawa yangu watakuwa wanagawa akina dada wa pale Jolly,mimi nitatoa nusu kikombe kwa bei ya Tsh 200 tu usipimeMtu mwingine anajitambulisha kama Jafari Fikiri,ameibuka na kutibu magonjwa sugu.anasema yeye anagawa vikombe viwili bure,na ndivyo alivyoambiwa na mizimu yake.Yuko ktk eneo la Mabatini.Watu ni wengi mno
Tutashuhudia mengi.