Mwili wa Raila Odinga ulivyoagwa Bungeni

Mwili wa Raila Odinga ulivyoagwa Bungeni

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,448
Reaction score
2,100
Mwili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga ukiwa ukiagwa Bungeni kabla ya kuhamishiwa katika Uwanja wa Nyayo kwa Ibada ya Mazishi ya Kitaifa

1760696999735.png


1760697031745.png



1760697062337.png

Soma pia
 
Aisee,

Ama kweli thamani ya Binadamu ni uhai wake tu,
Uhai ndio kila kitu,

Ukiuangalia mwili ni yule yule Raila Odinga,ila kwa vile mwili huo umekosa uhai,basi kilichobaki ni kufukiwa chini tu na kwenda kuoza!

R.I.P
 
Kenya namna yao ya kuaga mwili inatisha sana Yani mwili mzima unakuwa wazi so happened to Kenyatta Moi nk
 
Back
Top Bottom