ancillary
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 599
- 946
hii sasa ni dharau bora zifukuliweHawawezi kuzikuta na wakibahatika kutoa vi nusu karatasi vyao watoe vishilling vyao na sio dolla zetu.
Watu wametoa povu eti ni kufuru kwani waliziiba? Wacha ya mungu yaende kwa mungu na za kaisai yaende kwa kaisai.
Kwanu situ, geneza na kaburi si vinatengenezwa kwa pesa mbona hizo haziwaumi?
Je wangeziweka ndani ya geneza wakakuta mtu alisaoza wanazitoa?
Wawe makini wataambulia buleee tusubiri.