Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,431
- 5,132
Habari wadau wa Jukwaa hili,
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mwili kuvimba mara nyingi ninapomaliza kula chakula uvimbe ninaoupata ni mithili ya mtu alietembelewa na mdudu.
Nimefuatililia na kugundua aina ya uvimbe ninaoupata kitaalamu unaitwa "HIVES". lakini pia wakati flani huwa inatokea navimba mdomo na kuwashwa sana tatizo hili nimekuwa nalo muda mrefu sana tafadhali naomba msaada wa tiba au ushauri wa namna ya kukabiliana na tatizo la Mzio (Allergy) huu.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.
Nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la mwili kuvimba mara nyingi ninapomaliza kula chakula uvimbe ninaoupata ni mithili ya mtu alietembelewa na mdudu.
Nimefuatililia na kugundua aina ya uvimbe ninaoupata kitaalamu unaitwa "HIVES". lakini pia wakati flani huwa inatokea navimba mdomo na kuwashwa sana tatizo hili nimekuwa nalo muda mrefu sana tafadhali naomba msaada wa tiba au ushauri wa namna ya kukabiliana na tatizo la Mzio (Allergy) huu.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati.