Unapaswa kujua kuna aina tofauti za investment, sio kila mtu ana target ya ku invest kwenye ujenzi wa nyumba
Lakini pia ukubwa wa elimu haifanyi mtu kubwa tajiri, tukiwa na mentality kuwa elimu kubwa ndio kubwa tajiri hili nalo ni tatizo juu ya tatizo. Elimu haifanyi riziki yako ya kipato iwe, msifundishe wangu kuiba