Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Hatimaye timu ya West Armenia inayoshiriki ligi kuu ya Armenia imewatambulisha wachezaji wawili wapya kutoka Taifa la Tanzania ambao ni Eric Mwijage na Yusuph Athuman.
Yusuph Athuman kabla alikuwa mchezaji wa Mabingwa wa Soka la Tanzania Yanga na Eric Mwijage akitokea timu ya Kagera Sugar ya Kagera.
Yusuph Athuman kabla alikuwa mchezaji wa Mabingwa wa Soka la Tanzania Yanga na Eric Mwijage akitokea timu ya Kagera Sugar ya Kagera.