PostGE2025 Mwigulu: Nchi zenye machafuko sio masikini

PostGE2025 Mwigulu: Nchi zenye machafuko sio masikini

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Waziri mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania inachonganishwa kutokana na rasilimali zake.

Ameyasema hayo wakati wa mkutano wake wa kufanya tathmini ya athari ya machafuko ya wiki ya uchaguzi nchini humo.

Tanzania ilishuhudia maandamano na vurugu wiki ya uchaguzi mkuu oktoba 29.


 
Back
Top Bottom