Mbunge wa jimbo la Iramba magharibu napenda kukushauri buuure kabisa, hao watu unaowaita wasaidizi wako ni mizigo na ni kero kwa wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla.
Wanafanya kazi ya kukuridhisha wewe na kusahau kwamba wanatakiwa kukusaidia wewe kukuunganisha na wananchi, hawana mikakati endelevu kwa ajili ya vijana wako wa Iramba.
Zaidi ya kujinufaisha wao, wamezoea luxury life na kuwapuuza mpaka nduguzo 2020 usipoliangalia hili utashinda ubunge kwa asilimia 51 tu tena kwa gharama kubwa sana.
Wanairamba wanahitaji watu wa kuwasaidia, tunajua utakuwa bize na shughuli za kiserikali, Unda team work yenye vision na jimbo lako, achana na hao wapambe wanaokuvisha miwani ya mbao.
Wanafanya kazi ya kukuridhisha wewe na kusahau kwamba wanatakiwa kukusaidia wewe kukuunganisha na wananchi, hawana mikakati endelevu kwa ajili ya vijana wako wa Iramba.
Zaidi ya kujinufaisha wao, wamezoea luxury life na kuwapuuza mpaka nduguzo 2020 usipoliangalia hili utashinda ubunge kwa asilimia 51 tu tena kwa gharama kubwa sana.
Wanairamba wanahitaji watu wa kuwasaidia, tunajua utakuwa bize na shughuli za kiserikali, Unda team work yenye vision na jimbo lako, achana na hao wapambe wanaokuvisha miwani ya mbao.