CCM wanapita kutangaza kuwa kesho kutakuwa na mkutano mkubwa ndani ya Iringa manispaa Mwigulu ataongozana na mawaziri wapatao saba lakini katika matangazo yao CCM hawajawataja majina ya hao mawaziri.
Ili kuwaaminisha watanzania kuwa siyo arusha tu bali hata maeneo mengine chadema wanahusika kulipua mabomu.
Nasema tena msiende mwingulu ni ngaidi la utawala huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.