Standalone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 676
- 576
Ni kwa siku za Hivyi karibuni Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amekuwa nazunguka vijiji kadhaa ndani ya mikoa ya Tanzania kwa kutumia Helcopter(CHOPA)
Akianzia Tanga, Morogoro na juzi Akatembelea VIJIJI VIWILI KWA CHOPA KWENYE JIMBO LA SINGIDA MASHARIKI KWA TUNDU LISSU(CHADEMA)
Watanzani na wadau wa siasa mnaofuatilia siasa za Tanzania mnamo mwishoni mwa mwaka 2013 baada ya uchaguzi mdogo wa madiwani sehemu mbalimbali hapa tanzania mtakumbuka maneno ya Naibu waziri wa fedha na naibu katibu mkuu CCM bara Mwigulu Nchemba kisema kuwa chadema kuendelea kutumia chopper helicopter ni matumizi mabaya ya fedha,Pia akawasihi wananchi waikatae chadema kwa kuwa hawawezi kuwajali maskini maana wao wanaruka juu tu na chopper KUMBE ILIKUWA NI GERE...
Sasa amepata nafasi ya kutumia chopa amesahau maneno aliyoyasema mwaka mmoja umepita..
HII NI SAWA NA KULA MATAPISHI YAKE.
Picha juu Mwigulu na akichekelea kupanda chopa...
Akianzia Tanga, Morogoro na juzi Akatembelea VIJIJI VIWILI KWA CHOPA KWENYE JIMBO LA SINGIDA MASHARIKI KWA TUNDU LISSU(CHADEMA)
Watanzani na wadau wa siasa mnaofuatilia siasa za Tanzania mnamo mwishoni mwa mwaka 2013 baada ya uchaguzi mdogo wa madiwani sehemu mbalimbali hapa tanzania mtakumbuka maneno ya Naibu waziri wa fedha na naibu katibu mkuu CCM bara Mwigulu Nchemba kisema kuwa chadema kuendelea kutumia chopper helicopter ni matumizi mabaya ya fedha,Pia akawasihi wananchi waikatae chadema kwa kuwa hawawezi kuwajali maskini maana wao wanaruka juu tu na chopper KUMBE ILIKUWA NI GERE...
Sasa amepata nafasi ya kutumia chopa amesahau maneno aliyoyasema mwaka mmoja umepita..
HII NI SAWA NA KULA MATAPISHI YAKE.
Picha juu Mwigulu na akichekelea kupanda chopa...