Mwigulu Nchemba akutana na Rais wa Vietnam,wafungua fursa kwenye kilimo,mifugo na uvuvi

ukwelinauwazi

Member
Nov 24, 2014
71
91
12791095_474263789442521_2364692528760326870_n.jpg

Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mh.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Vietnam NdgTruong Tan Sang mapema hii leo walipokutana kwaajili ya mazungumzo kuhusu fursa zilizopo katika kilimo,mifugo na uvuvi katika nchi mbili hizi rafiki
12800404_474263962775837_1905460614971969283_n.jpg

Katika mazungumzo ya pamoja kati ya Rais wa Vietnam na Mh.Mwigulu Nchemba na ujumbe wake,Pande hizi mbili zimekubaliana kushirikiana kwenye uzalishaji wa mbegu bora za mazao na uzalishaji wa samaki hapa nchini,Mbali zaidi wamekubaliana kufungua fursa zaidi kwa wafanyabiashara wa nchi hizi mbili kuwekeza kwenye kilimo,mifugo na uvuvi.
12832372_474263862775847_8532909948867809511_n.jpg
Mauzngumzo yakiendelea kati ya ujumbe kutoka Vietnam na wadau wa kilimo hapa nchini.

12799139_474263829442517_327124640860159574_n.jpg
Mh.Mwigulu Nchemba akiagana na Rais wa Vietnam mara baada ya mazungumzo ya pamoja kumalizika.
 
Back
Top Bottom