Jana ktk mkutano wa hadhara Kiteto kwenye kata ya Partimbo Kitongoji cha Lang'itomoni.Naibu katibu Mkuu wa CCM Mwigulu Nchemba ktk maswali na majibu Kijana mmoja aliuza swali kwanini? Wewe Waziri ndio uje kumnadi mgombea udiwani na wakati tuna Mbunge wetu yuko wapi?Nchemba akashindwa kujibu na kubaki kujing'atang'ata.baada ya hapo akasema CCM hoyee kimya CCM hoyeeeeeeeee kimya akashikwa na hasira ndipo anawaambia Morani mlioko mahali hapa Wapigeni Chadema viboko maana tulikua jirani tukifanya kampeni.Ndipo watu wote wakaondoka kwenye mkutano wa CCM na kuja kwenye mkutano wa Chadema huku wakizomea.Kweli mwisho wa CCM umefika wamekataliwa kama shetani alivyokataliwa na Mungu mbinguni.
Source mimi mwenyewe 0789608383
Source mimi mwenyewe 0789608383