Mwigulu Nchemba aivuruga CCM Karatu

Mwigulu Nchemba aivuruga CCM Karatu

Cannivo

Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
33
Reaction score
7
Baada ya mkutano uliohutubiwa jana mjini Karatu na Mwiguru Nchemba nakuwaita wakaazi wa Karatu 'Nyumbu'

Jana usiku wakati wa chakula cha jioni viongozi wa Ccm wakiongozwa na Katibu wa Wilaya walisikika wakilaumiana kwa kitendo cha Mwiguru kutukana nakuperekea mgombea Udiwani Bw. Ally Ally kususia chakula kwakudai kua wameharibiwa kwa wananchi.
 
Hahahaaaa MAGAMBA yamechanganyikiwa kila kona.

Leo wana wa Karatu wooooote salam yao ni "nyumbu katika ubora wetu" nimecheka sana.

Kila kona hospitali, vijiweni, bar, salon, sokoni, maofisini, mitaani salamu ni "nyumbu - unaitikia katika ubora wetu"

Asante sana Mwigulu kwa kazi yako nzuri.
 
Mwigulu Nchemba leo Karatu katuita nyumbu, tukatata kumgawana bahati yake FFU wakawahi, alishindwa hata kupanda chopa yake, chopa ikatoroka peke yake
Ilikuwa hivi, alimwongelea vibaya Lowassa idadi kubwa ya watu wakaanza kuondoka, akasema, msiwe kama nyumbu, nyumbu ndo mmoja akianza kwenda wengine hufuata bila kufikiri ' raia wakasema unatuita nyumbu eeh? Vurugu ndo zikaanza, it was like that wakubwa !
 
Mmemaliza kamuoneni saa 8 pale ufipa awape buku 2 zenu.
 
Mmemaliza kamuoneni saa 8 pale ufipa awape buku 2 zenu.

Mwigulu anafikiri Watanzania wanahitaji matusi badala ya Sera, yeye akisimama jukwaani ni kutusi kila raia.

Hukumu yenu ni 25 Oktoba.
 
nyunbu nyie...kwenye mkutano ni sera sio kelele....
 
Back
Top Bottom