Katika hali isiyo ya kawaida, Mbunge wa Jimbo la Iramba Magharibi,m Mwigulu Nchemba, Madelu Lameki, amefanya maandamano katika Kijiji cha Ndago.
Mwigulu alifika Jioni na Magari mawili, Moja ni fuso na jingine Shangingi, alipokelewa darajani nje kidogo ya Ndago, maandamano yalilindwa na kupitia mbele ya Kituo cha Polisi hadi9 Ofisi ya CCM katika eneo hilo.
Haijulikani kwanini polisi walilinda maandamano hayo wakati wameshatangaza kuwa maandamano ni marufuku kwa sababu ya Sensa. Au Pengine maandamano na Mikutano ya Ndani ya Chama ambacho mwigulu Nchemba ndiyo mshika fedha wao, wapo juu ya Sheria.
Naomba kuwasilisha......... Picha zipo tutaziweka
Mwigulu alifika Jioni na Magari mawili, Moja ni fuso na jingine Shangingi, alipokelewa darajani nje kidogo ya Ndago, maandamano yalilindwa na kupitia mbele ya Kituo cha Polisi hadi9 Ofisi ya CCM katika eneo hilo.
Haijulikani kwanini polisi walilinda maandamano hayo wakati wameshatangaza kuwa maandamano ni marufuku kwa sababu ya Sensa. Au Pengine maandamano na Mikutano ya Ndani ya Chama ambacho mwigulu Nchemba ndiyo mshika fedha wao, wapo juu ya Sheria.
Naomba kuwasilisha......... Picha zipo tutaziweka