Mwigulu na Mwigamba nani aliwatuma?

Mwigulu na Mwigamba nani aliwatuma?

Concrete

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2011
Posts
3,605
Reaction score
551
Mwigulu Nchemba(Naibu katibu mkuu CCM-TZ bara) na Samson Mwigamba(Mwenyekiti wa CHADEMA-Arusha) wote wawili kwa nyakati tofauti yameonja 'joto hasira' kutoka kwenye vyama vyao kufuatia vitendo vyao walivyovifanya siku za karibuni.

CCM kupitia kwa msemaji wake Nape Nnauye kilitoa taarifa kuzikana kabisa ziara za Mwigulu Nchemba nje ya nchi na kusema hizo zilikuwa ni ziara zake binafsi na CCM isihusishwe kabisa!

Kwa upande mwingine CHADEMA wamemsimamisha uenyekiti wao wa Mkoa wa Arusha Samson Mwigamba kwa tuhuma za 'kukichafua' chama chao kupitia mitandao, hii inafuatia topic yenye shutuma dhidi ya viongozi wa juu wa chama chake aliyodaiwa kuandika na yeye kwa kutumia jina bandia na kisha kuirusha JF kwa kutumia Laptop yake tena akiwa ndani ya mkutano muhimu wa Chama chake.

Maswali muhimu ya kujiuliza ni:
1/Nani aliwatuma kufanya hayo?
2/Nini malengo yao katika kufanya hayo?
 
Samson Mwigamba ni mhanga wa Siasa za makundi ndani ya CHADEMA wakati Mwigulu ni mhanga wa upuuzi wake mwenyewe.Ninachojiuliza ni hiki,Ina maana ndani ya CHADEMA hakuna mwingine anayeaminika kukiongoza Chama zaidi ya Mbowe?Lissu haaminiki?Professor Safari haaminiki?Professor Baregu haaminiki?Said Arfi haaminiki?Ebu jamani nipeni majibu kama hawa wote ni virusi ndani ya Chama kwasababu nikiwaangalia hawa naona kabisa ni aina ya Viongozi watakaoweza kuipeleka CHADEMA katika level nyingine kabisa ya kisiasa.Mtu kama Safari au Baregu watafanya mageuzi makubwa ya kiuongozi ndani ya Chama kwani wale knowledgiable,Obedient/loyal & competent ndio watakaofikiriwa kukiongoza Chama katika ngazi mbalimbali za Uongozi.Labda sasa Chama chini ya hawa Wasomi kitapata fursa ya kutafiti sentiment za Watanzania zilivyo,Kutafiti namna CCM wanavyofanya siasa zao Vijijini na kisha kuanza kuyafanyia kazi matokeo ya utafiti huo katika harakati za kukiimarisha Chama na kuimarisha siasa za ushindani dhidi ya Chama Tawala.Nawakilisha.
 
ujinga ujinga tu! these leaders never use their heads correctly! kuchafua familia yako au kufanya kinyume na misimamo ya familia ni uchizi!!! kama umekua oa ukaanzishe familia nyingine!!!!

  • :smile-big:
 
Maneno ya nani anafaa nani hafai yako ccm kwa waheshimiwa.CDM wote ni makamanda uchaguzi ukifika utaona mwenyewe.(subiri
 
Samson Mwigamba ni mhanga wa Siasa za makundi ndani ya CHADEMA wakati Mwigulu ni mhanga wa upuuzi wake mwenyewe.Ninachojiuliza ni hiki,Ina maana ndani ya CHADEMA hakuna mwingine anayeaminika kukiongoza Chama zaidi ya Mbowe?Lissu haaminiki?Professor Safari haaminiki?Professor Baregu haaminiki?Said Arfi haaminiki?Ebu jamani nipeni majibu kama hawa wote ni virusi ndani ya Chama kwasababu nikiwaangalia hawa naona kabisa ni aina ya Viongozi watakaoweza kuipeleka CHADEMA katika level nyingine kabisa ya kisiasa.Mtu kama Safari au Baregu watafanya mageuzi makubwa ya kiuongozi ndani ya Chama kwani wale knowledgiable,Obedient/loyal & competent ndio watakaofikiriwa kukiongoza Chama katika ngazi mbalimbali za Uongozi.Labda sasa Chama chini ya hawa Wasomi kitapata fursa ya kutafiti sentiment za Watanzania zilivyo,Kutafiti namna CCM wanavyofanya siasa zao Vijijini na kisha kuanza kuyafanyia kazi matokeo ya utafiti huo katika harakati za kukiimarisha Chama na kuimarisha siasa za ushindani dhidi ya Chama Tawala.Nawakilisha.

Wewe vipi? Kwani nani amewakataza hao kugombea hizo nafasi. Tabia yako inafanana kabisa na B7 wa Lumumba ingawaje sivyo ulivyo wewe kihulka
 
Samson Mwigamba ni mhanga wa Siasa za makundi ndani ya CHADEMA wakati Mwigulu ni mhanga wa upuuzi wake mwenyewe.Ninachojiuliza ni hiki,Ina maana ndani ya CHADEMA hakuna mwingine anayeaminika kukiongoza Chama zaidi ya Mbowe?Lissu haaminiki?Professor Safari haaminiki?Professor Baregu haaminiki?Said Arfi haaminiki?Ebu jamani nipeni majibu kama hawa wote ni virusi ndani ya Chama kwasababu nikiwaangalia hawa naona kabisa ni aina ya Viongozi watakaoweza kuipeleka CHADEMA katika level nyingine kabisa ya kisiasa.Mtu kama Safari au Baregu watafanya mageuzi makubwa ya kiuongozi ndani ya Chama kwani wale knowledgiable,Obedient/loyal & competent ndio watakaofikiriwa kukiongoza Chama katika ngazi mbalimbali za Uongozi.Labda sasa Chama chini ya hawa Wasomi kitapata fursa ya kutafiti sentiment za Watanzania zilivyo,Kutafiti namna CCM wanavyofanya siasa zao Vijijini na kisha kuanza kuyafanyia kazi matokeo ya utafiti huo katika harakati za kukiimarisha Chama na kuimarisha siasa za ushindani dhidi ya Chama Tawala.Nawakilisha.

Kwa mtu anaeipenda Chadema kwa dhati, umeongea kitu cha maana sana. Kama ambavyo tunaamini CCM kinahitaji kupigwa chini na kuwekwa Chama kingine, ndivyo hivyo hata Style yetu ya kuishabikia Chadema inabidi tuibadili, tukosoe Viongozi wanapokosea, tu-analyse SWORT ni zipi.

Kama Mtei na Nyanga Makani hawakung'ang'ania madaraka, why waliopo sasa wang'ang'anie? Kina Safari na Beregu ni watu wazuri tu. Tena kama sio ukiritimba huu huu wa Madaraka wa Lipumba pale CUF, Safari ndio leo angekua pale.

Na kama wanapochaguliwa wengine wapya kuongoza chama huku walioko wakiwa bado na uwezo, ndio inadhihirisha kua Chadema ni chama kikubwa chenye uwezo hata wa kushika dola kikiwa na hazina kubwa ya Viongozi wazuri wa kutosha tu!!!
 
Kwa mtu anaeipenda Chadema kwa dhati, umeongea kitu cha maana sana. Kama ambavyo tunaamini CCM kinahitaji kupigwa chini na kuwekwa Chama kingine, ndivyo hivyo hata Style yetu ya kuishabikia Chadema inabidi tuibadili, tukosoe Viongozi wanapokosea, tu-analyse SWORT ni zipi.

Kama Mtei na Nyanga Makani hawakung'ang'ania madaraka, why waliopo sasa wang'ang'anie? Kina Safari na Beregu ni watu wazuri tu. Tena kama sio ukiritimba huu huu wa Madaraka wa Lipumba pale CUF, Safari ndio leo angekua pale.

Na kama wanapochaguliwa wengine wapya kuongoza chama huku walioko wakiwa bado na uwezo, ndio inadhihirisha kua Chadema ni chama kikubwa chenye uwezo hata wa kushika dola kikiwa na hazina kubwa ya Viongozi wazuri wa kutosha tu!!!

Hakuna mtu aliyezuiliwa kugombea uenyekiti wa chadema,hata wewe unaruhusiwa.Mbowe katiba haimzuii,wala mwingine yoyote hajazuiwa.Kama kuna unaemtaka mpiganie aje apite,badala ya kumzodoa mbowe.
 
Kwa mtu anaeipenda Chadema kwa dhati, umeongea kitu cha maana sana. Kama ambavyo tunaamini CCM kinahitaji kupigwa chini na kuwekwa Chama kingine, ndivyo hivyo hata Style yetu ya kuishabikia Chadema inabidi tuibadili, tukosoe Viongozi wanapokosea, tu-analyse SWORT ni zipi.

Kama Mtei na Nyanga Makani hawakung'ang'ania madaraka, why waliopo sasa wang'ang'anie? Kina Safari na Beregu ni watu wazuri tu. Tena kama sio ukiritimba huu huu wa Madaraka wa Lipumba pale CUF, Safari ndio leo angekua pale.

Na kama wanapochaguliwa wengine wapya kuongoza chama huku walioko wakiwa bado na uwezo, ndio inadhihirisha kua Chadema ni chama kikubwa chenye uwezo hata wa kushika dola kikiwa na hazina kubwa ya Viongozi wazuri wa kutosha tu!!!

propaganda za kijinga vipi munataka uchagauzi ufanywe nje ya katiba ha ha wait and see 2009 na 2014 utafanyika na viongozi watachaguliwa tunaowataka munatwaliwa na hofu hadi basi mwenyekiti wenu kaselender lakini nyie nikujibadilisha IDs tuu
 
Wewe vipi? Kwani nani amewakataza hao kugombea hizo nafasi. Tabia yako inafanana kabisa na B7 wa Lumumba ingawaje sivyo ulivyo wewe kihulka

Watagombea wapi wakati uchaguzi haujaitishwa? Unavuta mibangi ya wapi wewe... Au umetumwa na hao wachaga..
 
propaganda za kijinga vipi munataka uchagauzi ufanywe nje ya katiba ha ha wait and see 2009 na 2014 utafanyika na viongozi watachaguliwa tunaowataka munatwaliwa na hofu hadi basi mwenyekiti wenu kaselender lakini nyie nikujibadilisha IDs tuu

Mbona unaandika pumba hivi mkuu... Utadhan huna kichwa.
 
Mim ninavyoona Mwigamba yuko sahihi shida ni moja kuwa ametumia ID aliyotumia angetumia jina halisi kufikisha ujumbe
 
Watagombea wapi wakati uchaguzi haujaitishwa? Unavuta mibangi ya wapi wewe... Au umetumwa na hao wachaga..

Acha kutumika wewe uchaguzi wa ngazi ipi unautaka wewe? Unajua muda wa hawa waliopo madarakani unaisha lini?
Kwa taarifa yako uchaguzi uliopita ulifanyika 2009 na miaka 5 ni 2014,hivyo wapo ndani ya muda wao halali kabisa.pili uchaguzi ndani ya chama ngazi za chini umegatuliwa kwenye kanda kwa ngazi ya taifa ni mwakani
 
Samson Mwigamba ni mhanga wa Siasa za makundi ndani ya CHADEMA wakati Mwigulu ni mhanga wa upuuzi wake mwenyewe.Ninachojiuliza ni hiki,Ina maana ndani ya CHADEMA hakuna mwingine anayeaminika kukiongoza Chama zaidi ya Mbowe?Lissu haaminiki?Professor Safari haaminiki?Professor Baregu haaminiki?Said Arfi haaminiki?Ebu jamani nipeni majibu kama hawa wote ni virusi ndani ya Chama kwasababu nikiwaangalia hawa naona kabisa ni aina ya Viongozi watakaoweza kuipeleka CHADEMA katika level nyingine kabisa ya kisiasa.Mtu kama Safari au Baregu watafanya mageuzi makubwa ya kiuongozi ndani ya Chama kwani wale knowledgiable,Obedient/loyal & competent ndio watakaofikiriwa kukiongoza Chama katika ngazi mbalimbali za Uongozi.Labda sasa Chama chini ya hawa Wasomi kitapata fursa ya kutafiti sentiment za Watanzania zilivyo,Kutafiti namna CCM wanavyofanya siasa zao Vijijini na kisha kuanza kuyafanyia kazi matokeo ya utafiti huo katika harakati za kukiimarisha Chama na kuimarisha siasa za ushindani dhidi ya Chama Tawala.Nawakilisha.
Kumsemea mtu bila ridhaa nadhani sio uungwana. Je una uhakika hao uliowataja wanataka hicho cheo cha m/kiti? Kwa nini unadhani hivyo?

So far kuna mtu mmoja, anaitwa Zitto Z. Kabwe yeye amewahi na ameendelea kutaka hiyo nafasi ya m/kiti. Kwa nini mnatumia njia ndefu kwenye hili jambo????
 
Hivi jason bourne hajaleta part two kama alivyoahidi? Maana ile part one iliondolewa na mods napema sana.
 
Mwigulu Nchemba(Naibu katibu mkuu CCM-TZ bara) na Samson Mwigamba(Mwenyekiti wa CHADEMA-Arusha) wote wawili kwa nyakati tofauti yameonja 'joto hasira' kutoka kwenye vyama vyao kufuatia vitendo vyao walivyovifanya siku za karibuni.

CCM kupitia kwa msemaji wake Nape Nnauye kilitoa taarifa kuzikana kabisa ziara za Mwigulu Nchemba nje ya nchi na kusema hizo zilikuwa ni ziara zake binafsi na CCM isihusishwe kabisa!

Kwa upande mwingine CHADEMA wamemsimamisha uenyekiti wao wa Mkoa wa Arusha Samson Mwigamba kwa tuhuma za 'kukichafua' chama chao kupitia mitandao, hii inafuatia topic yenye shutuma dhidi ya viongozi wa juu wa chama chake aliyodaiwa kuandika na yeye kwa kutumia jina bandia na kisha kuirusha JF kwa kutumia Laptop yake tena akiwa ndani ya mkutano muhimu wa Chama chake.

Maswali muhimu ya kujiuliza ni:
1/Nani aliwatuma kufanya hayo?
2/Nini malengo yao katika kufanya hayo?

Hayo ndio matokeo ya njaa kuhamia kichwani:A S-confused1:
 
propaganda za kijinga vipi munataka uchagauzi ufanywe nje ya katiba ha ha wait and see 2009 na 2014 utafanyika na viongozi watachaguliwa tunaowataka munatwaliwa na hofu hadi basi mwenyekiti wenu kaselender lakini nyie nikujibadilisha IDs tuu
Haya haya ndiyo yaleyale tunayoyasema, hunijui na wala hujachunguza hata my previous posts, lakini kwa ka-post haka kamoja tu tayari ushanipachika kundi. Yaani unakua muumini mkubwa wa makundi kiasi yoyote wa CDM unadhani ana kundi

Ni vyema tukafuata ratiba zetu za uchaguzi tulizojiwekea toka awali ili kuepusha minong'ono kua watu wanang'ang'ania madaraka.
H@ki Ngowi: Kutoka Chadema:"Uchaguzi utaanza Aprili, mwaka huu na tunatarajia umalizike Desemba mwaka huu kwa kumchagua mwenyekiti taifa,"
 
Back
Top Bottom