Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 4,811
- 6,052
Acha hizo,ukiondoa maeneo machache sana presentation ya lusinde ilikuwa ya kieango cha juu sana
Aliongea nn zaidi ya mav.i mabichi
Acha hizo,ukiondoa maeneo machache sana presentation ya lusinde ilikuwa ya kieango cha juu sana
Kiwango kipi mkuu...?
Kutojua Ethics za Utawala ni kiwango cha juu?
Kutojua jinsi ya kuongea ukiwa na watu wa Imani tofauti ni kiwango cha juu?
Kwangu nilishindwa kabisa kumtofautisha na Akina mama waliokua wanagombana na mamaangu a way back, hasa ile mipasho na maneno mengi ya kanga...and he still entitled to be called " Mheshimiwa"!!!
Never!
Huyo Mwigulu sijui kama atakuja na mpya, yale yale ya Lusinde jana yatajirudia.
Acha hizo,ukiondoa maeneo machache sana presentation ya lusinde ilikuwa ya kieango cha juu sana
Kwa mfano alitoa msingi wa muhimu sana ambao kimsingi PAC waliuvunja na njia chanzo cha wafaidika wa hizo hela kupata nguvu ya kujitetea.
"KUSEMA KWELI ILI KUTENDA HAKI"
Report ya PAC imetengenezwa kwa misingi ya uongo na uzushi wa hali ya juu sana, hasa katika maeneo ya msingi sana ya hili sakata.
Hii skendo jamani ki hoja na facts kwa kweli imewakalia ovyo ma CCM, lakini CCM wanachojivunia ni uingi wao pale bungeni..watoa hoja wa ccm ilikuwa ni mipasho bila supporting evidences, lugha za mitaani na lugha za khanga mtupu..Naunga hoja ya mchangiaji mmoja ktk uzi mmoja kuwa upinzani wanapotoa hoja nzito na facts, Komba,Lusinde,Maji marefu na wengine hawakufahamu kutokana na uelewa wao mdogo..Naunga mkono..Lusinde alipokuwa anatoa viroja jana, Maccm wote walikuwa wameamka ndio kusema wanaelewa na wanafurahia matusi na lugha za mitaani
kwa upande mwingine hii kitu itawakalia vibaya zaidi ma CCM kama serikali ya ccm itajiudhuru..wanaogopa kuwa watawapa upinzani cha kuwaeleza wananchi kuwa wezi wa mali ya Umma ni ccm na hapo ndipo watakosa kura zaidi Tukumbuke kuwa wabunge wengi wa CCM hawatachaguliwa tena kama vipindi vilivyopita..
Hapa wanajalibu kushika kila tawi na majani lakini wanaanguka tu
Kama Mtanzania,Kilichotokea jana kimeniaibisha sana kwa kuwa na wawakilishi kama hawa wa CCM.
NASHAURI NJIA MOJAWAPO YA KUWATOA HAWA MAGAMBA NI KUSHAWISHI FAMILIA YAKO, MAJIRANI,MARAFIKI NA MTU YEYOTE AENDE KUJIANDIKISHA KUPIGA KURA..HIYO NDIO KARATA YETU SISI TUSIO BUNGENI DODOMA
Mkuu nilikuaga naheshimy Sana mawazo yako but sikuwahi jua Kama uko too cheap namna hiyo.