Mwigulu kuwa makini, kilichomkuta Mamba na Boko kitamkuta

KalistusM

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
235
232
Sijajua kama una beep au unajaribu ku beep. Nazisikia kauli zako za siku mbili tatu hizi, sasa huenda unajitoa lawama au unamaanisha unachokisema. Kama unajitoa lawama hakuna shida, lakini kama una maanisha basi kuwa na uhakika na unachofanya na ufahamu kwamba kilichompata 'mamba' na 'boko' kitamkuta.

Unaelewa kabisa ukweli wa mambo kwa hiyo ungekaa kimya tu,sasa kuongea hilo jambo na kulirudia tena na tena unachazea sharubu za Simba?
 
Analenga 2025
2025 mgombea ni muislam, kama hayupo bara basi Zanzibar

Labda avizie uPM au asubiri 2035, ambapo atakuwa outdated with 60yrs

Na atambue wengi watakuwa wametoka pia, kama alivyotoka yeye.

Urais si nafasi rahisi hivyo kuipata
 
Alivyokaa kimya ilikuwa poa sana, bora aendelee kukaa kimya maana....naona kama hajajaa kwenye tageti
 
2025 mgombea ni muislam, kama hayupo bara basi Zanzibar

Labda avizie uPM au asubiri 2035, ambapo atakuwa outdated with 60yrs

Na atambue wengi watakuwa wametoka pia, kama alivyotoka yeye.

Urais si nafasi rahisi hivyo kuipata
Akigombea Muislam CDM wanachukua nchi.
 
Sijajua kama una beep au unajaribu ku beep. Nazisikia kauli zako za siku mbili tatu hizi, sasa huenda unajitoa lawama au unamaanisha unachokisema. Kama unajitoa lawama hakuna shida, lakini kama una maanisha basi kuwa na uhakika na unachofanya na ufahamu kwamba kilichompata 'mamba' na 'boko' kitamkuta.

Unaelewa kabisa ukweli wa mambo kwa hiyo ungekaa kimya tu,sasa kuongea hilo jambo na kulirudia tena na tena unachazea sharubu za Simba?
Kwaakili yako hiyo unaweza ukawa na mwanamke aliyekuzidi kipato halafu anakuketea wanaume kwenye kitanda chako na bado ukawa unakaa kimya kisa unamuogopa kwakuwa kakuzidi kipato..


Hakuna dhambi kubwa kama dhambi ya uoga, hakuna ujinga mkubwa dunian kama wa kujifanya umefurahi huku moyon una uchungu...
 
Sijajua kama una beep au unajaribu ku beep. Nazisikia kauli zako za siku mbili tatu hizi, sasa huenda unajitoa lawama au unamaanisha unachokisema. Kama unajitoa lawama hakuna shida, lakini kama una maanisha basi kuwa na uhakika na unachofanya na ufahamu kwamba kilichompata 'mamba' na 'boko' kitamkuta.

Unaelewa kabisa ukweli wa mambo kwa hiyo ungekaa kimya tu,sasa kuongea hilo jambo na kulirudia tena na tena unachazea sharubu za Simba?
Hakuna analolisema la maana, anapoteza muda yasahaulike! Nchemba tangu lini akawa na msimamo, toka lini mtu toka ccm akawa na msimamo? Wasome na muwaelewe watu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom