Mwigulu atema povu bungeni

Mwigulu atema povu bungeni

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,954
Reaction score
134,035
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
 
Fedha hazikukwapuliwa bali zilitolewa kwa Idhini ya Mahakama, na kwa makubaliano maalumu, hakuna HARUFU ya ufisadi
 
Akichangia sasa hivi mgwillu nchemba amesema anatamani kuwa rais wa nchi hii ili awafundishe watu ADABU....!
My take:
baba rizi ameidhalilisha sana taasisi ya urais sitashangaa kesho hata kalapina au dudu baya wakitangaza nia
 
Mwigulu ni mwiba kwa wanasiasa uchwara kama wa ukawa na wenzake.
 
Ki fupi anasema kuwa JK ameshindwa , yeye ndio anaweza kuendesha nchi vizuri ......meseji sent kwa JK kuwa ameshindwa kuendesha nchi na imekosa adabu......
 
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
Andika vizuri mwigumu ndiyo nani ukawa bana.
 
naunga mkono bajet asilimia mia busega miaka mngi umeme ulikuwa haupo hasa kijiji cha mkula sasa umeme upo,chadema busega msahau.
 
Ni yale yale ya "Over my dead body"! JK ameufanya Urais uwe rahisi mno, kiasi kwamba hata Mwigulu sasa anaona anafaa kuwa Rais! SHAME!!!!
 
jamaa ni mpuuz sana anawaza kuuwa watu tu!!!!
 
Alichosema mwingulu do ukwel,LISSU,WENJE,SUGU,MSIGWA NA MDEE,utake usitake hawarudi bugeni 2015,anaebisha abishe lkn 2015 ujaja mfukon
 
mwenyewe hana adabu, kama anaona anaweza kufundisha wenzake adabu nadhani huko kwao ni uozo mtupu, yaani maadili zero
 
Back
Top Bottom