Mwigulu anaweweseka tu hoja yake dhaifu

Mwigulu anaweweseka tu hoja yake dhaifu

tol

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
256
Reaction score
170
tunamtaka mwigulu aeleze mwananchi ilan ya ccm na sio kuzungumzia pesa anazotumia Lowasa kwa kampeni
mwigulu pia atueleze pesa zinazotumiwa na ccm kwenye kampeni zimetoka wapi. llowasa ameshasema pesa anazotumia zimetoka kwa mwananchi ambao wanamsaport ambao ni friend of Lowasa
tunashawishika kuamini kuwa pesa zinazotumiwa na ccm kwenye kampeni ni pesa za kifisadi kama escrow, bomba la gas na ufisadi mwingine
 
kila akipanda jukwani ni Lowasa Lowasa hana Sera wanaona aibu kuzungumzia ilani yao ya uchaguzi kwani dhamira zao zinawasuta
 
Kwanza atueleze kesi yake na Takukuru imeishia wapi??
 
ccm kushne Maji ya shingo hawataacha kutapatapa
 
Kumjadili Mwigulu ni kujichosha tu. Hana lolote la kumshawishi mtu akamwelewa. Uchaguzi wa udiwani tu ulimshinda, kwa nasari aliangukia pua. Sembuse kwa Lowassa ambaye tayari yuko mioyoni mwa watu?. Lowassa anawatetemesha wote ccm sasa hawaonani
 
Lowassaaa huyooooo.oh ho ooo oooo.Lowassa huyoooooom
 
Back
Top Bottom