moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 910
- 946
Ukipita barabara kuu ya Dar mpaka Mbeya na ile ya Dar mpaka Mtwara kuna mtu ameandika "Mwigulu rais 2015" mwandiko ni ule ule na anatumia rangi nyeusi ya kuspray. Huyu mtu katumwa na Mwigulu au kajiajiri mwenyewe?