Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 261
- 199
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amekabidhiwa tuzo maalum ya kutambua mchango wake katika kuunga mkono na kutekeleza kwa vitendo maono ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika kukuza na kuimarisha sekta ya utalii nchini.
📍Arusha-Tanzania
🗓️Januari 31, 2026
—————————————————-
Amekabidhiwa tuzo hiyo jana wakati wa hafla ya ugawaji Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards).
📍Arusha-Tanzania
🗓️Januari 31, 2026
—————————————————-
Amekabidhiwa tuzo hiyo jana wakati wa hafla ya ugawaji Tuzo za Kitaifa za Uhifadhi na Utalii (Serengeti Awards).