Mkamba Mmasai
JF-Expert Member
- Apr 18, 2015
- 384
- 65
[h=3]
[/h]
Mheshimiwa Mwigulu asema: Asanteni Wananchi wa Tunduma,Nimefanya mkutano asubuhi ya leo maalum kuwaelimisha kuwa Uhai wa Mwanadamu unathamani kuliko Chama chochote kile cha siasa,Watanzania ni wamoja,tofauti za vyama vya siasa visitupeleke kwenye uadui na hata kufanyiana vurugu.
Tushindanishe ubora wa wagombea,Ubora wa sera na Ubora vyama.CCM ndicho chama chenye Sera bora,Mgombea bora,Mfuatiliaji,Mchapakazi na hana makandokando n.k.
‪#‎CHAGUAMAGUFULI‬
Mheshimiwa Mwigulu asema: Asanteni Wananchi wa Tunduma,Nimefanya mkutano asubuhi ya leo maalum kuwaelimisha kuwa Uhai wa Mwanadamu unathamani kuliko Chama chochote kile cha siasa,Watanzania ni wamoja,tofauti za vyama vya siasa visitupeleke kwenye uadui na hata kufanyiana vurugu.
Tushindanishe ubora wa wagombea,Ubora wa sera na Ubora vyama.CCM ndicho chama chenye Sera bora,Mgombea bora,Mfuatiliaji,Mchapakazi na hana makandokando n.k.
‪#‎CHAGUAMAGUFULI‬