Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Nakuhurumia Zitto Kabwe05/02/2014|
Kwa wasomaji ambao hawakubahatika kuisomamakalahii, basi watambue kuwa iliandikwa na SAMSON MWIGAMBA Desemba 9, 2009. WakatihuoMwigamba alikuwa na mtazamo huu kuhusuZitto.Lakini ni Mwigamba huyo huyo amegeukanakuwa swahiba wa Zitto hadi kufikia hatua yakuandaamkakati wa kukisaliti Chama chaDemokrasiana Maendeleo (CHADEMA) kwakutengenezawaraka feki wa kuwatukanaviongoziwa chama taifa na kuusambaza kwenyemitandaoya kijamii.
Tumerudia kuchapishamakalahii kutokana na maombi ya wasomajiwetu,waliotaka Watanzania waoneundumilakuwiliwa wanasiasa nchini kwa vileMwigambani mmojawapo wa wasalitiwalioshirikianana Zitto kukivuruga chama nasasayeye na Dk. Kitila Mkumbo wamevuliwauanachama.MHESHIMIWAZitto Zuberi Kabwe, Mbunge waKigomaKaskazini (CHADEMA), Mwenyekiti waKamatiya Kudumu ya Bunge ya Hesabu zaMashirikaya Umma, Katibu wa Kamati yaWabungewa CHADEMA katika Bunge la JamhuriyaMuungano wa Tanzania na Naibu Katibu Mkuuwachama, salaam.
Awali ya yote naomba kama nianze kwakutangazamgongano wa kimaslahi kama ilivyokawaidakwa wabunge kufuatana na Kanuni zaKudumuza Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzaniaToleo la Mwaka 2007.Mgonganowa kimaslahi ni kwamba ninakuandikiawarakahuu nikitaka kujadili machache juu yamwenendowa mambo ndani ya CHADEMA,mamboambayo yanakugusa kila wakati nikitakakujaribu,kwa faida ya wasomaji, kuangaliakulikonina wakati huohuo nikijua kwamba wewenirafiki yangu wa muda mrefu na ambayetumekuwapamoja tukikubaliana kwa mambokaribuyote, wakati wote.Mheshimiwaunajua urafiki wetu ni wa mudamrefuna kwa kweli nilikupenda kabla wewehujanifahamu;nikakuhesabu kama rafiki kablahujanifahamuna kwa bahati nzuri sanauliponifahamuukakubali kuwa rafiki yangu.
Nimekuungamkono katika matukio, maamuzi nahatamitazamo yako mingi kwa muda mrefu.Nilikuwaupande wako katika kupiga vita ufisadinahata uliposimamishwa ubunge wakati wa hojayaBuzwagi nilikuwa upande wako.Nilikuwaupande wako ulipotoka nje ya ukumbiwaBunge kupinga utaratibu wa kuwachaguawabungewa Afrika Mashariki na hata katika kileulichokiita‘bifu' kati yako na Spika wa Bunge,lililotokanana hatua yako ya kutoka nje yaukumbiwa Bunge na maneno uliyoyatoa nje yaukumbihuo kuhusu uwezo wa spika kusimamiakanuniza Bunge.
Nilikuwapia upande wako uliposimama kumteteaspikakuhusu hoja iliyotolewa na mwandishimmojaakipinga uwepo wa Kamati ya Bunge yaKutungaSheria katika kanuni mpya za Bunge.Nilikuwaupande wako pale ulipounga mkonomaelezoya kitaalamu ya Tanesco kununuamitamboya Dowans, na hili unalifahamu zaidimaanatulikuwa tukiwasiliana sana na huendamimina Absalom Kibanda ni miongoni mwawaandishiwachache sana tuliodiriki kusemawaziwazikupitia kalamu zetu kwamba tunaungamkonomsimamo wako wa kununua mitambo yaDowans.
Utakumbukapia siku moja tulipishana mtazamotulipokuwatukichangia kwenye mtandao mmojawaintaneti hoja ya utafiti wa taasisi mojailiyoonyeshakwamba bado Kikwete na CCM nimaarufukuliko vyama vya upinzani kwa mbalisana.Unakumbuka kwamba mimi nilitofautiananawewe kwa hoja za kitaalamu zinazohusuutafiti.Lakinibaada ya kutoa hoja zako na mimi nikatoahojazangu na wewe ukazijibu nilikubaliana nawewena hatimaye nikawa upande wako.
Lakinikatika siku za karibuni nimejikuta nikiwakatikamfululizo wa matukio, mitazamo namaamuziya mimi kutokubaliana na wewe.Utakumbukanilianza kutokubaliana na wewekuhusuuamuzi wako wa kuchukua fomu yakugombeauenyekiti wa taifa wa CHADEMA.Nilikutumiabarua pepe ndefu sana nikipingauamuzihuo na kukuomba kwamba ujitoe kwahojanyingi ambazo najua unazikumbuka vema.Kwabahati mbaya hukujibu ile barua pepe, lakinisikukatatamaa, nikaambiwa nipitie kwa msaidiziwakoDavid Kafulila.
Nikafanyahivyo na Kafulila akanihakikishiakwambakila tunachoongea anakufikishia nakwambaunampa majibu ya kunipatia. Lakinimheshimiwaunakumbuka kwamba mwishonikabisamajibu yako yalikuwa ni kwamba hojazanguzote ulikuwa unazikubali, lakiniulishazizingatiakabla hujaamua kujitosa kwenyekugombeauenyekiti na hivyo usingejitoa.
Nashukurukwamba baadaye uliamua kujitoa japoulikuwaumechelewa.MheshimiwaZitto, nilitofautiana na wewe pia kwakaulizako ulizokuwa unazitumia kutaka kuwamwenyekitiwa CHADEMA kabla ya kujiondoa.Katikamoja ya taarifa za habari ulinukuliwaukisemaunatofautiana na Mbowe kwa sababuweweni mjamaa wakati yeye ni bepari.
Nikawazanakukumbuka kwamba Agosti 13, 2006 wakati chama chenu kinazinduliwa upya ulikuwepo na ninaamini ulishiriki kikamilifu katika kufanya utafiti,kuchambua na hatimaye kuja na katiba mpya iliyowasilishwa kwenye mkutano mkuu sikuhiyo na kupitishwa kuwa katiba mpya ya chama hicho.Na kwamba maneno haya yanayo someka kwenye utangulizi wa katiba hiyo mpya ya CHADEMA yakiwa yametamkwa kwa kunyanyua mikono na wajumbe wa mkutano huo mkuu, basi yalikuwa niyako pia:
Kwa wasomaji ambao hawakubahatika kuisomamakalahii, basi watambue kuwa iliandikwa na SAMSON MWIGAMBA Desemba 9, 2009. WakatihuoMwigamba alikuwa na mtazamo huu kuhusuZitto.Lakini ni Mwigamba huyo huyo amegeukanakuwa swahiba wa Zitto hadi kufikia hatua yakuandaamkakati wa kukisaliti Chama chaDemokrasiana Maendeleo (CHADEMA) kwakutengenezawaraka feki wa kuwatukanaviongoziwa chama taifa na kuusambaza kwenyemitandaoya kijamii.
Tumerudia kuchapishamakalahii kutokana na maombi ya wasomajiwetu,waliotaka Watanzania waoneundumilakuwiliwa wanasiasa nchini kwa vileMwigambani mmojawapo wa wasalitiwalioshirikianana Zitto kukivuruga chama nasasayeye na Dk. Kitila Mkumbo wamevuliwauanachama.MHESHIMIWAZitto Zuberi Kabwe, Mbunge waKigomaKaskazini (CHADEMA), Mwenyekiti waKamatiya Kudumu ya Bunge ya Hesabu zaMashirikaya Umma, Katibu wa Kamati yaWabungewa CHADEMA katika Bunge la JamhuriyaMuungano wa Tanzania na Naibu Katibu Mkuuwachama, salaam.
Awali ya yote naomba kama nianze kwakutangazamgongano wa kimaslahi kama ilivyokawaidakwa wabunge kufuatana na Kanuni zaKudumuza Bunge la Jamhuri ya Muungano waTanzaniaToleo la Mwaka 2007.Mgonganowa kimaslahi ni kwamba ninakuandikiawarakahuu nikitaka kujadili machache juu yamwenendowa mambo ndani ya CHADEMA,mamboambayo yanakugusa kila wakati nikitakakujaribu,kwa faida ya wasomaji, kuangaliakulikonina wakati huohuo nikijua kwamba wewenirafiki yangu wa muda mrefu na ambayetumekuwapamoja tukikubaliana kwa mambokaribuyote, wakati wote.Mheshimiwaunajua urafiki wetu ni wa mudamrefuna kwa kweli nilikupenda kabla wewehujanifahamu;nikakuhesabu kama rafiki kablahujanifahamuna kwa bahati nzuri sanauliponifahamuukakubali kuwa rafiki yangu.
Nimekuungamkono katika matukio, maamuzi nahatamitazamo yako mingi kwa muda mrefu.Nilikuwaupande wako katika kupiga vita ufisadinahata uliposimamishwa ubunge wakati wa hojayaBuzwagi nilikuwa upande wako.Nilikuwaupande wako ulipotoka nje ya ukumbiwaBunge kupinga utaratibu wa kuwachaguawabungewa Afrika Mashariki na hata katika kileulichokiita‘bifu' kati yako na Spika wa Bunge,lililotokanana hatua yako ya kutoka nje yaukumbiwa Bunge na maneno uliyoyatoa nje yaukumbihuo kuhusu uwezo wa spika kusimamiakanuniza Bunge.
Nilikuwapia upande wako uliposimama kumteteaspikakuhusu hoja iliyotolewa na mwandishimmojaakipinga uwepo wa Kamati ya Bunge yaKutungaSheria katika kanuni mpya za Bunge.Nilikuwaupande wako pale ulipounga mkonomaelezoya kitaalamu ya Tanesco kununuamitamboya Dowans, na hili unalifahamu zaidimaanatulikuwa tukiwasiliana sana na huendamimina Absalom Kibanda ni miongoni mwawaandishiwachache sana tuliodiriki kusemawaziwazikupitia kalamu zetu kwamba tunaungamkonomsimamo wako wa kununua mitambo yaDowans.
Utakumbukapia siku moja tulipishana mtazamotulipokuwatukichangia kwenye mtandao mmojawaintaneti hoja ya utafiti wa taasisi mojailiyoonyeshakwamba bado Kikwete na CCM nimaarufukuliko vyama vya upinzani kwa mbalisana.Unakumbuka kwamba mimi nilitofautiananawewe kwa hoja za kitaalamu zinazohusuutafiti.Lakinibaada ya kutoa hoja zako na mimi nikatoahojazangu na wewe ukazijibu nilikubaliana nawewena hatimaye nikawa upande wako.
Lakinikatika siku za karibuni nimejikuta nikiwakatikamfululizo wa matukio, mitazamo namaamuziya mimi kutokubaliana na wewe.Utakumbukanilianza kutokubaliana na wewekuhusuuamuzi wako wa kuchukua fomu yakugombeauenyekiti wa taifa wa CHADEMA.Nilikutumiabarua pepe ndefu sana nikipingauamuzihuo na kukuomba kwamba ujitoe kwahojanyingi ambazo najua unazikumbuka vema.Kwabahati mbaya hukujibu ile barua pepe, lakinisikukatatamaa, nikaambiwa nipitie kwa msaidiziwakoDavid Kafulila.
Nikafanyahivyo na Kafulila akanihakikishiakwambakila tunachoongea anakufikishia nakwambaunampa majibu ya kunipatia. Lakinimheshimiwaunakumbuka kwamba mwishonikabisamajibu yako yalikuwa ni kwamba hojazanguzote ulikuwa unazikubali, lakiniulishazizingatiakabla hujaamua kujitosa kwenyekugombeauenyekiti na hivyo usingejitoa.
Nashukurukwamba baadaye uliamua kujitoa japoulikuwaumechelewa.MheshimiwaZitto, nilitofautiana na wewe pia kwakaulizako ulizokuwa unazitumia kutaka kuwamwenyekitiwa CHADEMA kabla ya kujiondoa.Katikamoja ya taarifa za habari ulinukuliwaukisemaunatofautiana na Mbowe kwa sababuweweni mjamaa wakati yeye ni bepari.
Nikawazanakukumbuka kwamba Agosti 13, 2006 wakati chama chenu kinazinduliwa upya ulikuwepo na ninaamini ulishiriki kikamilifu katika kufanya utafiti,kuchambua na hatimaye kuja na katiba mpya iliyowasilishwa kwenye mkutano mkuu sikuhiyo na kupitishwa kuwa katiba mpya ya chama hicho.Na kwamba maneno haya yanayo someka kwenye utangulizi wa katiba hiyo mpya ya CHADEMA yakiwa yametamkwa kwa kunyanyua mikono na wajumbe wa mkutano huo mkuu, basi yalikuwa niyako pia: