Mwezi february

Mwezi february

Mambaenock

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2013
Posts
427
Reaction score
107
Habari zenu wadau
ningependa kufahamu ni kitu gani huwa kinasababisha mwezi huu kupisha idadi ya tarehe kwa kila mwaka mfano 2014 siku zilikua 28
wakati miaka mingine unaweza kuta siku 29.,
 
365.1/4days(none leap yr)/366(leap year) for none leap yr it takes 4 yrs to make a single day to be a leap yr.go&google
 
365.1/4days(none leap yr)/366(leap year) for none leap yr it takes 4 yrs to make a single day to be a leap yr.go&google

Umemjibu vizuri lakini hajakuelewa, ngoja nikusaidie.
Mwaka mmoja unakua na siku 365 na robo (yaani masaa 6) kwahiyo mwaka unaofata utakua na siku 365 na masaa 12 na mwaka wa tatu yake utakua na siku 365 na masaa 18 mwaka wa nne yake ni siku 365 na masaa 24 (24hrs = 1day) kwaio mwaka wa nne ni siku 366, ndio inayoingia kwenye February na kua siku 29
 
Hiyo 29 inakuja kila baada ya miaka mine. Kwa hiyo hapana cha birthday ya kila mwaka kwa waliozaliwa tarehe hiyo.🌻
 
Back
Top Bottom