Upo sawa kabisa mkuu, kutaka prestige ya kusoma vyuo wanavyoviita vikubwa, wanakuja kushtuka mwishoni hata hivyo walivyoviona vidogo vinakuwa vimeshajaa, hapo nani wa kulaumiwa??
ujue ucseme kitu ambcho huna uhakika nacho mwaka huu weng wamekosa chuo na wana gpa nzuri,msikalie kusema wanataka vyuo vzur hvohvo vbaya watu tumekosa
daah pole sana kijana japo nami ni muhanga lakini naomba niweze kushare nawe japo kiduchu nikijuacho,kwanza kijana ukijichanganya utakosa mkopo cha kufanya omba kozi zenye mikopo walau hata kiduchu then fuatilia transfer,mimi nilimaliza 2014 nikiwa na div 3.11 nimetoka jeshi na stress baada ya kukosa chuo nikajaza open university bila kujua ipoje kuulizia watu nikaona sistahili kusoma apo nikaomba transfer nikapata st.johns dom education uku me na uroho wa kusoma MD nikahamia nursing wakanipokea nikajitahidi ivo ivo kiugumu semester ya kwanza ikaisha nilipoona mkopo unazidi kua tatizo NIKAACHA ili niombe tena asee sijawahi kudream kusoma engineering kwa iyo round zote tatu nilijitahidi kujaza vyuo walau vya bei nafuu MD nikatemwa ILA KUMBUKA GOD IS GOOD ALWAYS itabidi nijaze walau vyuo nipate mkopo ili niweze kuhama
wewe hata mim nilijaza edxn kote had huko udom na nimekosa nw et wanaleta za biashara c bora uache tu pcb hd biashara ni ujngaujnga tyu
Upo sawa kabisa mkuu, kutaka prestige ya kusoma vyuo wanavyoviita vikubwa, wanakuja kushtuka mwishoni hata hivyo walivyoviona vidogo vinakuwa vimeshajaa, hapo nani wa kulaumiwa??
mwakani elimu bure mpaka chuo kikuuuuuuuuuu.kwa ushauri wangu kama unaona hamna chaguo lolote linalokufaa usichague chuo mwaka huu subiri mwakani uangalie hali itakuaje kwa sababu utaenda kusoma kitu usichokipenda. Nina ushahidi wapo walioacha kujaza vyuo mwaka jana baada ya kutemwa 1st round na mwaka huu wamekua wajanja wamepata kozi nzuri tu.
mwakani elimu bure mpaka chuo kikuuuuuuuuuu.
mwenge haipo tena
2 . 10
Hauko serious wewe yaani mtu upate 2.10 tena pcb ukose chuo??? Au ndo brn ????