ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,662
- 2,569
KUmbuka hakuna anae penda kufeli ila ni matokeo ya maandalizi mabovu au sababu zingine zisizozuilika kama msongo wa mawazo,pepa likakujia vibaya kama sisi practical A ya physics 2014 kwa iyo bro eventhou truth will remain there but everything happen for a reason.....
sitaki kuamini kwamba walimu wa sayansi wametosha kiasi kwamba mtu alieomba ualimu akose.
Mwenzako kaomba ushauri we unasema "ujuaji"...chukulia kams kingrtokea kwako kitu kama hichi....kama nyuzi hujaipenda basi iache sio lazma kukoment au kuingilia nyuzi ambayo huna msaada,We elimu ikusaidie sio uisaidie.....!tatzo ujuaji mwingi!!
Hiyo inawezekana mkuu maana kuna dogo yeye PCB B + B C machaguo manne ya mwanzo alijaza vyuo vya afya mwisho ndo akaweka education, wamempa hiyo hiyo ya mwisho sembuse huyo?
Wana jf mko pouwa,,, jamani naombeni ushauri coz nko stressed cjachaguliwa coz yoyote na TCU up 2 now even private na ufahuru wangu ni GPA ya 2.7 nimesoma pcb na nilijaza almost education sasa sijui nifanye nini hh 4th round hakuna fulcut yoyote ya sayansi zaidi ni education in art msaada wa mawazo na ushauri ilinijue nitafanya nn coz hata him bado cjawabia
man of the year ni fara sana,MTU anaomba msaada yeye analeta usenge.Mwenzako ushauri we unasema "ujuaji"...chukulia kams kingrtokea kwako kitu kama hichi....kama nyuzi hujaipenda basi iache sio lazma kukoment au kuingilia nyuzi ambayo huna msaada,We elimu ikusaidie sio uisaidie.....!
mwenge haipo tenahebu angalia mwecau wanapenda sana watu wa sayansi mkuu unaweza ukachukuliwa ila kama ni kilaza hio msuli wake mwecau ni shiiiida check unipe mrejesho
sitaki kuamini kwamba walimu wa sayansi wametosha kiasi kwamba mtu alieomba ualimu akose.
Wana jf mko pouwa,,, jamani naombeni ushauri coz nko stressed cjachaguliwa coz yoyote na TCU up 2 now even private na ufahuru wangu ni GPA ya 2.7 nimesoma pcb na nilijaza almost education sasa sijui nifanye nini hh 4th round hakuna fulcut yoyote ya sayansi zaidi ni education in art msaada wa mawazo na ushauri ilinijue nitafanya nn coz hata him bado cjawabia
Suala sio waalim kutosha bali nafasi za kusoma vyuoni hazipo!Ni bahati mbaya kwamba hakuchagua ktk first round na second,kuja kushtuka ktk third round zimeshajaa.
ufahuru = ufaulu
fulcut = faculty
Kwa namna hii itakuwa ngumu sana hata ....
kwa nnavyojua mm, UDOM hapajai hasa kwa walimu wa sayansi. kutaka kusoma vyuo vikubwa (km jinsi wanaviita) ndio huwagharimu. km vp atuambie machaguo yake ya mwanzo
kwa nnavyojua mm, UDOM hapajai hasa kwa walimu wa sayansi. kutaka kusoma vyuo vikubwa (km jinsi wanaviita) ndio huwagharimu. km vp atuambie machaguo yake ya mwanzo