Wewee hao wadudu niwengi sana sikuizi tangaza nia tu uone utapewa mpaka bure ,piga chini Li beach hilo kamata mzigo mwengine Weka ndani
pole sana hiyo ni ajali kama zilivyo ajali nyingine na maisha yanasonga wakati wewe unamuona x wako kuna mtu alikuwa anaingia polisi anagongwa na gari anaingizwa mochwari nk nk
Wewee hao wadudu niwengi sana sikuizi tangaza nia tu uone utapewa mpaka bure ,piga chini Li beach hilo kamata mzigo mwengine Weka ndani
Unatuitaje ww!!!
Na dada zako na.mama yako si tupo nae kundi 1 eeh?
Umekosa cha ku comment? !!
^^
Mungu anapozuia jambo, anajua faida zake kwako.
Maisha yapo bado..usilazimishe mambo. Unaweza fuga donda usipate dawa
^^
kanisani mnaenda kuwinda kumbe daaaaah,
si kataka mwenyewe kwani ni mtoto miaka mitatu bado anaganda kama si ukame ni nini au huna soko kupe
Hapa tu ndo pamenivutiakabla sijakutananae 2009 nilimuomba Mungu nimuomba anipende akakubali na saiv naenda tena kwa JINA LA BWANA.
^^
Fikra hazikuwahi kushinda nguvu ya kupenda.. Tumpe moyo tu arudi ktk hali yake..aliyepitia hili anajua nalosema
^^
Hizo ndo POST TRAUMATIC STRESS DISORDER. Jikaze mtoto wa Kiume. Kwani we ushakuwa na wangapi mpaka kufikia huyo? Hujawahi kuacha ama kuachwa kabla ya huyo. Tumia uzoefu. Chukulia kama alikufa na maisha yan atakuwa yaendelee. J2 njema
unauelewa gani kuhusu mapenzi?afunguke dats all anapenda jiwe no feedback si u .t.a. h. i .ra