- Thread starter
- #41
Ndio hivyo nimekosa bahati
Tupo pamoja katika masikitiko, maana namimi pia nimeikosa bahati!
Ndio hivyo nimekosa bahati
Ngoja nianze gym
deadline ya maombi ni lini?
Hapana Vin Diesel, sipo tayari kuwa mke wa pili!
Hapana Vin Diesel, sipo tayari kuwa mke wa pili!
Toa specification basi:
Cc ngapi, km, make, model, transimision type nakadhalika.
Na kweli, haya na tusikitikeTupo pamoja katika masikitiko, maana namimi pia nimeikosa bahati!
.........Bila ya shaka utafanikiwa, usisahau kumshirikisha Mungu maana ukimuomba kwa kumaanisha, hawezi kukunyima uombacho. Utafanikiwa Nareem ondoa shaka.Shukran majorbuyoya, natumaini nitapata tutakaefaana.
Labda yeye anazungumzia urefu wa mtarimbo.urefu umefanyaje tena, unamaana wewe ni chini ya huo wa kwangu?
ungesema ulivyo
mnene?
kabila gani?
shepu aina gani?miss tz?miss bantu?miss namba nane?namba tisa?
All the best
Kila la kheri Nareem, ningekuwa sijaoa ningetupa karata yangu
yaani ni zaidi ya hapo halafu bahati mbaya nini kitambi balaa,,,,urefu umefanyaje tena, unamaana wewe ni chini ya huo wa kwangu?
Habari zenu wanajamii.
Jamani maisha ni safari ndefu na inahitaji uvumilivu na ujasiri. Nimetumia ujasiri wangu kwa kujitokeza katika jukwaa hili ili kuweza kupata mwenza ambae atakuwa mume kama Muumba akibariki. Kwa aliye na nia ya dhati haswa naomba tuwasiliane kwa private message.
Sifa zangu
Umri: Miaka 30
Umbo:Ni wa kawaida sana, na kwa wale wanopenda makalio makubwa, mimi sina jamani, ni bora kuwa mkweli!
Urefu: Centimeter158
Rangi: Maji ya maharage
Elimu: Degree mbili
Kazi: Muajiriwa wa serikali
Dini:Islam
Sifa za Mtarajiwa
Umbo: asiwe na kitambi kwa kweli
Urefu: itakuwa vyema kama akinizidi maana isije leta zahma
Rangi: yeyote
Elimu: Degree
Kazi: Ni muhim maana maisha ni magumu sana
Dini: Islam, ila uwe hujaoa!
Najua kunawatakoleta mzaha, ni kawaida sana kwenye jamii. Nipo tayari kwa maswali mtakayoyauliza. Karibuni!
Kuslim inawezekana ila itabidi ufanye hivyo kabla hatujakubaliana chochote. Hii huepusha mtu kubadili kwa kushawishiwa na uhusiano.