- Thread starter
- #21
una bikra?
Hapana, sina bikra!
una bikra?
duh napata wasiwasi mpaka unagonga 30,no fiancee!!em tuwekee picha yako tafadhali,wengine tunaogopa kuingia mkenge lol
Hapana, sina bikra!
kwenye kitambi si utamfanyia diet na gym!
jinsia tafadhali siku hizi hata wanaume hutafuta mume
mi natafuta bikra ya uswahilini,so am out for good thou sifa ninazo
Hapana, sina bikra!
Usihofu COURTESY, utampata tu.
asante sana dada mungu akujalie umpate atakayekupenda nakukuthamini maana naona umetoka mbali vileee!!!!!!!!!mimi ni mwanamke.
Dini mamaUsihofu M'Jr, labda ungesema ni kasoro gani hiyo
dont take it seriously hizo comments za juu,i was kidding...nakutania wala hizo sifa sina,mi mkristo bana
all the best
Dini mama
Twende ligi basi la kugombea toto hili la kiarabu
Ndio hivyo nimekosa bahatiOk! Nimekuelewa M'Jr.
Upo tayari kuwa mke wa pili?
Mungu akubariki katika safari yako ya kutafuta mwenza wa kweli. Nimependa jinsi ulivyo muwazi na unavyojibu maswali.