Mwenyenyumba!!


Bora mimi kazi yangu kuingia jf, nasoma thread za watu nacheka then nasepa kimyakimya bila kuacha ushahidi kwamba nilipita. Tehe tehe!!
 
Bora mimi kazi yangu kuingia jf, nasoma thread za watu nacheka then nasepa kimyakimya bila kuacha ushahidi kwamba nilipita. Tehe tehe!!



Tehe tehe tehe ! Una akili wewe, ungesomasoma kidogo ungekuwa prezda !
 
wewe una akili
 
wewe una akili



Tehe tehe tehe !
Thanx mkuu.
Huwezi kuijua akili ya mtu hadi uwe na akili.
Lakini bahati mbaya chizi akikutana na chizi mwenzake wanachekana,kila mmoja anamuona mwenzake ndo chizi ila yeye ni mzima...KUMBE WOTE NI SCHIZOPHRENICS.
 
Tehe tehe tehe ! Una akili wewe, ungesomasoma kidogo ungekuwa prezda !

Umeona eeh? Tatizo kijijini kwetu ukijifanya unasomasoma kuna babu anakuhamishia kwake unamsaidia kupalilia shamba la mihogo usiku. Aliyesoma sana ni mtoto wa mwenyekiti wa kijiji. Kamaliza la tano.
 
Lazima uwe na wasiwasi na akili yako kwa kuwa hata huelewi
umeingia Jukwaa lipi! Huu ni utani, na kila mtu ana mtazamo
wake katika kuwasilisha au kuunogesha utani, siwezi kufikiri
unavyofikiri...

Mkuu Baba askofu mbona umekuwa mkali? Wala sikupinga uloandika.
 

madhara yake mengine ni kujambajamba sana
 

Kama yote haya unayafahamu kwanini wewe usitekeleze ukijuacho? Hapa kwenyewe unaonyesha mapungufu yako unafanya unachokikosoa, na zaidi ya haya sehemu hii ndio mahala sahihi kwa mambo ya namna hii! Usifanye kila jambo ni siasa!
 
Kama yote haya unayafahamu kwanini wewe usitekeleze ukijuacho? Hapa kwenyewe unaonyesha mapungufu yako unafanya unachokikosoa, na zaidi ya haya sehemu hii ndio mahala sahihi kwa mambo ya namna hii! Usifanye kila jambo ni siasa!

Hahahahahaaaa...umesema kweli mkuu...baada ya watu kupasuana vichwa kule;tunakuja kuburudika hapa!!!!
 

....jamani hizi zafaa jukwaa lipi???????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…