Mwenyenyumba!!

saleh sule

Member
Joined
Dec 25, 2011
Posts
47
Reaction score
8
Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala seblen jamaa akampisha akaenda juu ya dali !!
 
Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala seblen jamaa akampisha akaenda juu ya dali !!
..............akaja mwingine jamaa akampisha dali akapanda juu ya bati akaota anaanguka akaanguka akafa............
 
hili ni funzo jinsi ya kutumia ID zako nne kwa wakati mmoj.big up.
 
Alipo fika mbinguni akacharazwa sana viboko kwamba siku nyingine asilete utani na Mungu...
Akadondoshewa TZ kama Malaria SUGU!!!
 
Utoto, Ngoja nirejea ktk jukwaa la wakubwa lol.
 
Alipo fika mbinguni akacharazwa sana viboko kwamba siku nyingine asilete utani na Mungu...
Akadondoshewa TZ kama Malaria SUGU!!!



Mwishowe akawa mwehu akichekacheka ovyo mitaani kama mimi!...
gi ef ni zaidi ya noma .
 
Kuna jamaa mmoja mweny nyumb alikua alala chumban kwake hana hata kitanda mara akaja mtu anataka anatak chumb akampisha chumban kwake mara akalala seblen mara tena akaja mtu yuko tayar kulala seblen jamaa akampisha akaenda juu ya dali !!

These are stories of a child, we are adults now beg all those with oral as these hold special blog just for their own, others here have labor costs of electricity, our country is run locally arbitrary, our leaders do not have this or that, food prices increased substantially, many poor Tanzanians, steal our resources, long queues for those who live in dar, rising living costs such as transport, fuel, rent, etc. So my advice is that we should not take JF is part of the story of a child and not surprised the one who brought this matter is an adult and has a family of wife and children. There are many things which make for progress in the nation, we must will consider and not these in the ceiling. Have a positive attitude(I am sorry if offensive)@SALEH SULE
 



STRESS ni tatizo kubwa kwa baadhi ya watanzania:

Dalili zake ni pamoja na:

1. Kula sana au kukosa hamu ya kula.
2. Kuwa mkali sana au mpole sana bila sababu.
3. Kulalamika lalamika ovyo.
4. Kumuona kila mtu anachangia uwepo wa shida zako.
5. Kuhudhuria kituo cha tiba mara kwa mara bila kuwa na ugonjwa rasmi. Ukiambiwa vipimo vinasema huna tatizo,hukawii kuhamia kwa waganga wa kienyeji ama kituo kingine.

MADHARA MAKUBWA NI PAMOJA NA:
1. Kujiua.
2. Kuota mvi mapema.
3. Kujiona wewe NI BORA NA UNAJUA ZAIDI KULIKO WENGINE.
 
Ngoja nicheke kwa kidhungu. Uwiii uwiii huwiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…