Commodores JF-Expert Member Feb 5, 2018 289 335 Mar 26, 2018 #1 Mwenyekiti wa CCM James amewaambia Basata na Wizara ya Utamaduni na michezo iwe inaelimisha wasanii badala ya kuwafungia miziki yao
Mwenyekiti wa CCM James amewaambia Basata na Wizara ya Utamaduni na michezo iwe inaelimisha wasanii badala ya kuwafungia miziki yao
Alisina JF-Expert Member Aug 9, 2016 4,069 4,263 Mar 26, 2018 #2 Yes!yes! Hata kama atamutetea kwa hoja Safi na zenye nguvu...ukweli utabaki pale pale Ccm imezeeka sana.
Yes!yes! Hata kama atamutetea kwa hoja Safi na zenye nguvu...ukweli utabaki pale pale Ccm imezeeka sana.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,417 Mar 26, 2018 #3 Sauti ya Bashite hii. Hapo ni Bashite kaongea kumtetea mtoto wake "anayemlea"
evonik JF-Expert Member Jun 12, 2015 3,998 5,133 Mar 26, 2018 #5 Asante Ndg Heri kwa kutambua waliowafikisha hapo mlipo maana hali ilikuwa mbaya lakini Leo hii wapo ambao hawajui wapi mlikotoka na hao wasanii, wamepewa lifti kwa dereva wanajiona ndo madereva
Asante Ndg Heri kwa kutambua waliowafikisha hapo mlipo maana hali ilikuwa mbaya lakini Leo hii wapo ambao hawajui wapi mlikotoka na hao wasanii, wamepewa lifti kwa dereva wanajiona ndo madereva