GE2025 Mwenyekiti wa UWT: Hatutaki Pesa, tunataka Maendeleo

GE2025 Mwenyekiti wa UWT: Hatutaki Pesa, tunataka Maendeleo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
846
Reaction score
1,612

Maoni ya wajumbe mbalimbali kuelekea Uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Akijibu kuhusu swali la wajumbe kuwa vigeugeu Mary Komba, Mwenyekiti wa UWT Tawi la Biyuda, Kinondoni amesema "Ni kweli wajumbe tunakuwa vigeugeu na tunatamani kubalika na wajumbe mwaka huu tusiangalie pesa tuangalie maendeleo"

Pia Soma: Mary Chatanda (UWT) awataka Wanawake kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi 2025
 
Back
Top Bottom