Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana UVCCM Mkoa wa Mara Mary Daniel amewataka vijana kuacha kujihusisha na vitendo vinavyochafua picha ya Umoja huo badala yake wao wawe sehemu ya kutetea na kusaidia wanapohitajika ili kujijengea heshima Wakati wote.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mary ametoa kauli hiyo Wakati akizungumza na Vijana katika Wilaya ya Tarime Mkoani mara Wakati wakuhitimisha ziara Yake ya Kusikiliza za nakutatua kero mbalimbali kwenye Mkoa huo.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mary ametoa kauli hiyo Wakati akizungumza na Vijana katika Wilaya ya Tarime Mkoani mara Wakati wakuhitimisha ziara Yake ya Kusikiliza za nakutatua kero mbalimbali kwenye Mkoa huo.