Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Kizungumza kupitia Clouds TV, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema: “Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa.”
Maana yake inaeleza mengi sana....yaani ya watanzania hayawamuhusu, "walie" yeye haimuhusu!!Balile
Kizungumza kupitia Clouds TV, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema: “Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa.”
Balile yuko sahihi. Naunga mkono hoja yake.
unga na mashavu yake yaliyovimbianaBalile yuko sahihi. Naunga mkono hoja yake.