myenzialex
Member
- May 27, 2015
- 26
- 9
Ni ukawa kapitia cuf
Mbowe alimfukuza kwa nini?
Unafahamu kilichompata Jana?Bakar Shingo....ni my brother...ni mtu anayependa haki..mwenye kuipenda nchi yake. ..kwa miaka 17..nimemfahamu mtu huyu
Alichokifanya Makonda ni uhuni!Unafahamu kilichompata Jana?
Shkamoo makonda
Naskia hajatoa mpaka sasa, wameenda kwenye ofisi yake kukaguaAlichokifanya Makonda ni uhuni!
Kumbe ni wa miaka mingi, na ni mwenyeji wa wapi?Huyu brother ni kichwa sana tu, namfahamu vizuri sana na anajua kujenga hoja vizuri sana, akipewa support Goms watafika mbali sana, ni mpinzani wa kweli toka 1994 nilianza kuona harakati zake, [HASHTAG]#niceleader[/HASHTAG].